Mke
wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif, AKIFUNGUWA
Mkutano wa Baraza Kuu wa UVCCM Mkoa wa Kaskazini Unguja,uliofanyika
katika ukumbi wa Ofisi za CCM Jimbo la Kitote Kinduni
Mjumbe
wa Baraza Kuu wa UVCCM Mkoa wa Kaskazini Unguja,Subira Mohamed,akitowa
shukrani kwa niaba ya wajumbe wazeka baada kufunguliwa kwa Mkutano wao.
Baadhi
ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Baraza la UVCCM Mkoa wa Kaskazini Unguja,
wakimsikiliza Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha
Balozi Seif, akifunguwa mkutano huo uliofanyika katika Ukumbi wa
Ofisi za Jimbo la Kitope Kinduni.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)