Meneja
wa Usalama na Afya wa Kampuni ya Bia Tanzania, Renatus Nyanda, Akiwa
pamoja na watoto waathirika wa UKIMWI Alnold na Irene baada ya kuwapatia
msaada wa sh 219,000 zilizochangwa na wafanyakazi wa TBL
Meneja
wa Kiwanda wa TBL, Salva Rweyemamu (kulia) akimpatia Ofisa Usalama
mahali pa Kazi TBL, Ismail Kalembo zawadi ya simu aina ya Black Berry,
baada ya kuwa mmoja wa wafanyakazi wa waliopima kwa hiari virusi vya
Ukimwi.
Mama mhamasishaji vita dhidi ya UKIMWI, akimpatia zawadi ya bia mmoja wa wafanyakazi wa TBL
Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Robin Goetzsche (kushoto),
akiwawashia mishumaa wafanyakazi wa kampuni hiyo, wakati wa maadhimisho
yaliyofanyika Makao Makuu ya TBL, Dar es Salaam juzi.
Meneja
Mauzo wa TBL, John Mgega(kushoto) akimpatia zawadi mfasnyakazi Khadija
Maulid ambaye ni mmoja wa wafanyakazi walioamua kwa hiari yao kupima
virusi vya ukimwi.
Wafanyakazi
wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakiwasha mishumaa wakati wa
maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani, katika Makao Makuu ya kampuni
hiyo, Dar es Salaam juzi.
Mkurugenzi
wa Fedha wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kevin O'Flaherty (kulia)
akiwasaidia wafanyakazi wa kampuni hiyo kuwawashia mishumaa wakati wa
maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yaliyofanyika Makao Makuu ya TBL,
Dar es Salaam juzi.
Baadhi ya wafanyakazi wa TBL wakiwa wamewasha mishumaa ikiwa ni ishara ya kuwakumbuka wote waliokufa kwa UKIMWI
Wanakamati
ya maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani, kwa upande wa TBL,
wafanyakazi wa TBL, WAKIWA KATIKAPICHA YA PAMOJA NA BAADHI YA WAATHIRIKA
WA UKIMWI





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)