Mabalozi
mbalimbali wakishuka katika basi maalum la Wizara ya Mambo ya Nje mara
baada ya kuwasili katika sherehe za Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania
,zinazofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam
zikihudhuriwa na wageni mbalimbai, mabalozi wakuu wa nchi kadhaa za
Afrika, Asia na Ulaya na viongozi wa Serikali wakiongozwa na Rais wa
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk Jakaya Kikwete.
Fullshangwe iko katika eneo la tukio ikikumuvuzishia matukio mbalimbali
yanayojiri katika sherehe hizo.
Waheshimiwa
wabunge na makatibu wakuu wa Wizara mbalimbali wakiteremka kwenye
mabasi yaliyowabeba kwa ajili ya kushiriki katika sherehe za miaka 50 ya
uhuru wa Tanzania







No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)