TANZANIA INVESTMENT FORUM 2011 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

TANZANIA INVESTMENT FORUM 2011

Wizara ya Nishati na Madini ikishirikiana na ubalozi wa Tanzania Uk wameandaa kongamano la uwekezaji nchini. Hii ni katika kutekeleza sera za economic diplomacy pamoja na kuvutia mitaji ya kigeni. Mada nyingi zilizungumziwa kuhusu nafasi na sheria za uwekezaji Tanzania. Waziri Ngeleja kama mgeni rasmi na mwakilishi wa taifa aliwawekea wazi wawekezaji jinsi ya sheria mpya zilizotungwa na kuwahakikishia kuwa Tanzania na Watanzania wako tayari kupokea wawekezaji ambao wako tayari kuwekeza ilimradi waje na njia ambazo hazitinyinya Watanzania na taifa lao.

Eneo lililovutia sana washiriki lilikuwa eneo la nishati na madini pamija na viwanda. Waekezaji ambao tayari wako nymbanu Tanzania wamwisifia sana kwamb kwasasa Tanzania inawezekana kuwa ndio nchi pekeweafrika yenye mazingira sawia  kwa wawekezaji toka nje. Wanataaluma nao kama bi Barbara Njau alifafanua kwa ushahidi wa vielelezo kuwa uchumi Watanzania siku zijazo utakuwa haraka sana na yakuwa Watanzania na Tanzania wako kwenye nafasi nzuri kabisa kimaendeleo kama watatumia rasilimali walizonazo kwa umakini na uangalifu.
https://mail.google.com/mail/?ui=2&ik=3530edf2ab&view=att&th=134216feab4a4c3c&attid=0.1&disp=inline&realattid=c70756c5fa4f2482_0.1&zw
Mh Ngeleja akitoa maelezo juu ya sheria mpya za uwekezaji kwenye eneo la nishati
https://mail.google.com/mail/?ui=2&ik=3530edf2ab&view=att&th=134216feab4a4c3c&attid=0.3&disp=inline&realattid=c70756c5fa4f2482_0.3&zw 
Mh ngeleja akibadilishana mawzo na Naibu Balozi chabaka na Moja ya wanakongamano
https://mail.google.com/mail/?ui=2&ik=3530edf2ab&view=att&th=134216feab4a4c3c&attid=0.5&disp=inline&realattid=c70756c5fa4f2482_0.5&zw 
Waziri Ngeleja akiwa na Wajumbe wa JumuiyaTanzanian Uk

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages