MAKAMU WA RAIS DKT BILAL, MGENI RASMI MKESHA WA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU MNAZI MMOJA DAR - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL, MGENI RASMI MKESHA WA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU MNAZI MMOJA DAR

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza kuwahutubia wananchi waliohudhuria mkesha wa sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru, zilizofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck sadick, akizungumza jukwaani kutoa salam za sherehe hizo kwa wananchi.
 Baadhi ya Viongozi wa Kisiasa na wananchi waliohudhuria sherehe hizo.
 Baadhi ya Viongozi wa Kisiasa na wananchi waliohudhuria sherehe hizo.
  Vijana wakishangia burudani iliyokuwa ikitolewa jukwaani na makundi mbalimbali ya sanaa, wakati wa sherehe hizo.
  Wasanii wa Kundi la Safi wakiwapagawisha wananchi waliohudhuria sherehe hizo.
 Wanenguaji wa Bendi ya Msondo Ngoma, wakishambulia jukwaa wakati wa mkesha wa sherehe hizo.
 Wasanii wa Kikundi cha Sanaa cha JKT Mgulani, wakishambulia jukwaa kwa kucheza ngoma ya Bugobogobo ya Kabila la Wasukuma, wakati wa sherehe hizo.Kwa Picha Zaidi <<< BOFYA HAPA >>>

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages