Rais
Dk. Jakaya Kikwete akihutubia wageni waalikwa wakati alipozindua
jengo jipya la kitega uchumi la Golden Jubilee Towers, linalomilikiwa na
Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) lililopo barabara ya
Ohio jijini Dar es salaam.
Jengo hilo limegharimu zaidi ya shilingi bilioni 60 na lina minara
miwili mmoja ukiwa na ghorofa 22 na mwingine ukiwa na ghorofa 13 na
litakuwa na ofisi, maduka pamoja na mgahawa unaozunguka, ambapo ukienda
katika mgahawa huo utaweza kuona pande zote za jiji la Dar es salaam,
lakini pia jengo hilo lina eneo la kuegesha magari yapatayo 300 kwa
wakati mmoja.
Rais Dk Jakaya Kikwete akifunua pazia kuashiria uzinduzi rasmi wa jengo hilo uliofanyika leo jijini Dar es salaam.








No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)