Vifaa mbalimbali vikishushwa kwenye gari vilivyotolewa na Taasisi ya Islamic Organization kwa waathirika wa mafuriko
Baadhi
ya watoto walioathirika na mafuriko wakichezea baiskeli ya miguu mitu
(GUTA) kwenye kambi iliyopo Mtambani Mtaa wa Punda eneo la Kariakoo Dar
es Salaam, wakati Taasisi ya Islamic Organization walipoenda kutoa
msaada wa vifaa mbalimbali kwa waathirika hao
Mmoja
wa wafanyakazi wa Taasisi ya Islamic Organization akipanga vifaa hivyo
kabla ya kuvigawa kwa waathirika. Taasisi hiyo imeshatoa kiasi cha Sh
Milioni 20 tangu mafuriko yalipotokea
Mmoja wa waathirika wa mafuriko akipika katika Kambi hiyo iliyopo Mtambani Mtaa wa Punda eneo la Kariakoo Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)