Afisa
Uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania Jane Matinde
(kushoto) akikabidhi zawadi ya simu aina ya Samsung Tablet kwa, Edith
Mbenna (kulia) ikiwa ni zawadi baada ya kuibuka
mshindi katika promosheni ya mzuka wa Airtel . katikati yao ni Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando akishuhudia makabithiano hayo katika ofisi kuu za Airtel, Dar es Salaam.
mshindi katika promosheni ya mzuka wa Airtel . katikati yao ni Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando akishuhudia makabithiano hayo katika ofisi kuu za Airtel, Dar es Salaam.
Afisa
Uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania Jane Matinde
(kulia) akikabidhi zawadi ya simu aina ya Samsung double line kwa Ariff
Warri (kushoto) ikiwa ni zawadi baada ya kuibuka
mshindi katika promosheni ya mzuka wa Airtel . katikati yao ni Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando akishuhudia makabithiano hayo, hafla ya makabidhiano iliyofanyika Airtel
mshindi katika promosheni ya mzuka wa Airtel . katikati yao ni Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando akishuhudia makabithiano hayo, hafla ya makabidhiano iliyofanyika Airtel
Meneja
Uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania Jackson
Mmbando (kulia) akikabidhi zawadi ya simu aina ya Samsung Galaxy ii kwa
sandra Mwasenga (kushoto) ikiwa ni zawadi baada ya
kuibuka mshindi katika promosheni ya mzuka wa Airtel . katikati yao anayeshuhudia makabithiano hayo ni Jane Matinde Afisa uhusiano wa Airtel,hafla ya makabidhiano iliyofanyika leo Airtel
kuibuka mshindi katika promosheni ya mzuka wa Airtel . katikati yao anayeshuhudia makabithiano hayo ni Jane Matinde Afisa uhusiano wa Airtel,hafla ya makabidhiano iliyofanyika leo Airtel
Meneja
Uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania Jackson
Mmbando (kulia) akikabidhi zawadi ya simu aina ya Samsung Tablet kwa
Pelagia Weiss (kushoto) ikiwa ni zawadi baada ya kuibuka mshindi katika
promosheni ya mzuka wa Airtel . katikati ni Jane Matinde Afisa
uhusiano wa Airtel
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)