Orodha ya Viongozi waliowahi kuwa wenyeviti wa chama hicho
Orodha ya waliowahi kuwa makatibu wa chama hicho
Mkuu
wa Idara ya Katiba, Sheria na Haki za Binadamu wa NCCR-Mageuzi,
Sengondo Mvungi akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar
es Salaam, ambapo alilalamikia vyombo vya habari kwamba viliandika
visivyo uamuzi wa Mahakama Kuu,Kanda ya Dar es Salaam, kuhusu shauri la
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila alilolipeleka mahakamani kuomba
zuio la hatua zilizochukuliwa dhidi yake na chama hicho. Kushoto ni
Martine Juju, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho.Picha na Habari
na Richard Mwaikenda
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)