Rais Jakaya Kikwete Akifurahia Jambo na Mabalozi Wapya Ikulu - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Rais Jakaya Kikwete Akifurahia Jambo na Mabalozi Wapya Ikulu

Rais Jakaya Kikwete akifurahia jambo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Benard Membe(wa pili kushoto) na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani na Ushirikiano wa Kimataifa, Mahadhi Juma Maalim(wa pili kulia), pamoja na Mabalozi wapya baada ya kuapishwa rasmi leo Ikulu Dar es Salaam.Picha na IKULU

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages