Luteni Peter
Kapinga
Tarehe 26/11/2011
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kama Amiri Jeshi Mkuu aliwatunuku
Kamisheni wanachuo wa Chuo cha kijeshi cha Monduli Mkoani Arusha.
Peter akiwa mmoja
wa wahitimu hao anapenda kuwashukuru wote ambao walioshiriki katika kumsaidia
kwa namna moja na nyingine mpaka amefikia hapo alipofikia, zaidi anapenda
kumshukuru Dada ake Esther Mbapila pamoja na Mr Mbapila kwa kushiriki katika
mchakato wote mpaka akafanikisha kupata alichokihitaji.
ASANTENI






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)