Msanii Mohamedi Nice 'Mtunisi' akiwambia wanafunzi wa shule ya Buguruni Viziwi wakae kwa mstari kwa ajili ya kuwagawia bisckuti na juisi alizowapelekea kama zawadi kwa watoto hawo leo
Mohamedi Nice 'Mtunisi' akimkabidhi box kwa mwanafunzi wa buguruni viziwa, Chacha Mwita kwa niaba ya wanafunzi wenzake leo
Habari picha kwa niaba ya (www.burudan.blogspot.com)





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)