Mkutubi kutoka Ofisi ya Rais,
Menejimenti ya Tumushi wa Umma, Moshi Makuka,(kulia) akiwahudumia wakazi
wa jiji la Dar es Salaam waliotembelea banda la UTUMISHI lililopo
katika maonesho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania bara katika viwanja vya
Mwalimu Julius Nyerere barabara ya Kilwa.
Afisa Utumishi Mwandamizi kutoka
Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma, Hassan Rashid Shebuge
(kulia) akiwahudumia wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliotembelea banda
la UTUMISHI lililopo katika maonesho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania
bara katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere barabara ya Kilwa.
Mshehereshaji katika Banda la Ofisi
ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Seif Mbembe akiwajibika nje ya
banda hilo kwa kuwashawishi watu kuingia ndani ya banda hilo na
kujipatia huduma mbalimbali.
Afisa Habari katika Ofisi ya Rais,
Menejiment ya Utumishi wa Umma, Rehema Mbulalina, (kushoto) (kulia)
akiwahudumia wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliotembelea banda la
UTUMISHI lililopo katika maonesho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania bara
katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere barabara ya Kilwa.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, kutoka
Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma, Zamaradi Kawawa (kulia) akimwelekeza jambo Waziri Mkuu
Mstaafu, Frederick Sumaye alipotembelea banda la UTUMISHI lililopo katika
maonesho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania bara katika viwanja vya Mwalimu
Julius Nyerere barabara ya Kilwa.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejiment ya
Utumishi wa Umma, George Yambesi (kushoto)
akimwelekeza jambo Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye alipotembelea banda la
UTUMISHI lililopo katika maonesho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania bara katika
viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere barabara ya Kilwa.






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)