Hii
ni moja ya Posters inayotangaza Filamu mpya ya Mr. president iliyochezwa
na Mchekeshaji, Stive Nyerere, ikiwa imebandikwa katika mitaa
mbalimbali ya jiji la Dar.
Kinachoshangaza
ni jinsi utumiwaji wa alama za Taifa kama Ngao ya Taifa na Bendera ya
Taifa vilivyopamba Posters hii Je kulikuwa na umuhimu gani wa kutumia
alama hizi katika matangazo ya Filamu hii?, hili ni moja kati ya maswali
yanayoulizwa na baadhi ya wadau wanaopata fulsa ya kugongana na Posters
hii mitaani.






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)