JE HII NI SAWA KUTUMIA ALAMA ZA TAIFA KATIKA MATANGAZO YA FILAMU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

JE HII NI SAWA KUTUMIA ALAMA ZA TAIFA KATIKA MATANGAZO YA FILAMU

Hii ni moja ya Posters inayotangaza Filamu mpya ya Mr. president iliyochezwa na Mchekeshaji, Stive Nyerere, ikiwa imebandikwa katika mitaa mbalimbali ya jiji la Dar.

Kinachoshangaza ni jinsi utumiwaji wa alama za Taifa kama Ngao ya Taifa na Bendera ya Taifa vilivyopamba Posters hii Je kulikuwa na umuhimu gani wa kutumia alama hizi katika matangazo ya Filamu hii?, hili ni moja kati ya maswali yanayoulizwa na baadhi ya wadau wanaopata fulsa ya kugongana na Posters hii mitaani.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages