Afisa
Mwandamizi Ofisi ya Makamu wa Rais Idara ya Mazingira Bi Fainahappy
Kimambo akimuonyesha Vipeperushi vya Mkakati wa Mazingira Bw Ali
Hassan kwenye Maonyesho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara
yanayofanyika Viwanja vya Maonesho vya Mwalimu Julius Nyerere maarufu
kama Saba Saba Mjini Dar es Salaam.Picha Na Father Kidevu Blogu
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)