NGELEJA USO KWA USO NA TWANGA PEPETA UINGEREZA BAADA YA KUKUTANA NA WAWEKEZAJI WATARAJIWA WA UINGEREZA NCHINI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

NGELEJA USO KWA USO NA TWANGA PEPETA UINGEREZA BAADA YA KUKUTANA NA WAWEKEZAJI WATARAJIWA WA UINGEREZA NCHINI

  Baada ya kumaliza mkutano wa uwekezaji na wawekezaji watarajiwa wa Uingereza, nchini Tanzania, Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja alipata fursa ya kukutana na Timu ya Urban Pulse Creative Media ili kufanya mahojiano maalum kuhusiana na changamoto na maendeleo ndani ya wizara yake, ambapo pia alipata kugongana uso kwa uso na wanamuziki wa bendi ya Twanga Pepeta waliokuwa katika ziara yao nchini humo hivi karibuni.
Mh Waziri akimsikiliza Baraka Baraka
Mh Waziri Ngeleja akifanya mahojiano na Baraka Baraka
Mh Waziri Ngeleja akiongea na watanzania
Mh. Waziri Ngeleja akiwa na Frank pamoja Baraka kutoka Urban Pulse
Mbali na hapo, Ngelaja alikutana na baadhi ya watanzania waliopo London katika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tanzania.
Wadau wakipozi kwa picha (kushoto) ni Jack Pemba na wenzake.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages