Risala ya wahitimu kwa Mgeni rasmi. Kilio chao kikubwa ilikuwa ni ajira juu yao kuondoa tatizo la uhaba wa waalimu nchini.
Mgeni
rasmi alikabidhi pia vyeti kwa wahitimu. Jumla ya wahitimu 109
wamehitimu mafunzo ya Ualimu wa Elimu ya Awali katika Chuo cha Ualimu
Rukwa. Chuo cha Ualimu Rukwa kinatoa mafunzo ya ualimu katika ngazi ya
Elimu ya Awali, Grade A na Certificate. Dira ya Chuo hicho ni kuwa Chuo
Kikuu siku za usoni.
Sehemu ya mtambo huo wa kuzalishia umeme. Mtambo huu una uwezo wa kuzalisha umeme wenye kilowatts tatu (3)
Mradi
huu wa umeme utatumika katika chuo hicho cha ualimu kwa shughuli
mbalimbali ikiwemo chumba cha kompyuta, mabwenini na madarasani. Mkuu
huyo wa Mkoa alifarijika na kutoa ushauri kwa wajasiriamali kuonyesha
uwezo wao kwa kubuni miradi mbalimbali ambayo ina manufaa ya moja kwa
moja kwa jamii.
Kwa Picha Na Habari Zaidi <<< BOFYA HAPA >>>





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)