
Mbunge wa
Bariadi Mashariki(UDP)John Cheyo akibadilishana mawazo na
Bw.Oscar Fernandez-Taranco aliyewahi kuwa Mwakilishi Mkazi wa Shirika
la Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP) nchini Tanzania. muda mfupi
kabla ya ufunguzi wa mkutano wa siku mbili wa wabunge kutoka mabunge
mbalimbali. Bw. Taranco ambaye kwa sasa ni Msadizi wa Katibu Mkuu wa
Umoja wa Mataifa, akisimamia Idara ya masuala ya Siasa alikuwa miongoni
mwa watoa mada.Mhe.Cheyo anahudhuria mkutano huo akiliwakilisha Bunge
la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)