Mwakilishi Mkazi wa UNOPS nchini Sierra
Leone, Omary Mjenga, akiwa na Mwakilishi Mkazi wa UNAIDS Bi. Mulunesh,
Raia wa Ethiopia, wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Ukimwi
Duniani, ambazo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Sierra Leone, Ernest
Koroma. Bi Mulunesh aliwahi kuwa Mwakilishi Mkazi wa UNAIDS nchini
Tanzania mwaka 1996 hadi 2000.
-






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)