MAKAMU WA RAIS DK GHARIB BILAL ATOA RAMBIRAMBI KWA FAMILIA YA MAREHEMU DAVID WAKATI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MAKAMU WA RAIS DK GHARIB BILAL ATOA RAMBIRAMBI KWA FAMILIA YA MAREHEMU DAVID WAKATI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Mtangazaji wa TBC, David Wakati, alipofika nyumbani kwa marehemu huyo  Oysterbay jijini Dar es Salaam jana Desemba 2, kwa ajili ya kutoa mkono wa pole. Marehemu Wakati alifariki juzi jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na ndugu wa marehemu David Wakati, Francis Wakati, , Josephine Wakati (katikati) na Elizabeth Wakati, baada ya kumaliza kutia saini katika kitabu cha maombolezo, alipofika kutoa mkono wa pole kwa nyumbani kwa familia ya marehemu, Oysterbay jijini Dar es Salaam jana Desemba 2.Picha na Muhidin Sufiani-Ofisi ya Makamu Wa Rais

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages