Rashidi Matumla akiruka Kamba katika Kambi yake ya Mazoezi iliyopo Keko Dar es salaam leo
Rashidi Matumla 'Mtoa Sumu' akipiga panch Bang wakati wa mazoezi yake kabla ya kumkabili bondia maneno Osward Desemba 25
ufundi wa masubwi upo hapa
ngumi ndonga masubwi mwanzo mwisho
Bondia
Rashidi Matumla (kulia) akioneshana ufundi wa kutupa masubwi na
Mohamedi Matumla wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano na
bondia Maneno Osward Desemba 25 katika ukumbi wa Henlken Kijichi Dar es
salaam





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)