DAVID WAKATI AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

DAVID WAKATI AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI

Baadhi ya waumini waliohudhuria misa ya kuuombea mwili wa mtangazaji huyo.
Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Reginald Mengi (kushoto) akiwa na mke wa Rais mstaafu Benjamini Mkapa, Mama Anna Mkapa, wakifuatilia misa hiyo.
Gari lililobeba mwili wa marehemu likielekea makaburini.
ALIYEKUWA mtangazaji wa siku nyingi katika vituo vya radio hapa nchini, David Wakati, jana alizikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam ambapo watu wengi walihudhuria.

 
Waadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza.
 
Jeneza likiwa juu ya kaburi kabla ya kuzikwa.
 
Mengi akibadilishana mawazo na mmoja wa waombolezaji.
 
Waziri wa Habari na Michezo Emmanuel Nchimbi (kushoto) akiwa na mmoja wa wanafamilia.
 
Shughuli ya kukamilisha uhifadhi wa kaburi ikiendelea.
 
Mmoja wa wanafamilia akiweka mashada ya mauwa juu ya kaburi.
PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY / GPL

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages