Waziri wa
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (kulia)
akimlisha keki Balozi wa Angola nchini, Profesa Ambrosi Lukoki kwenye
sherehe ya kutimiza miaka 35 ya Uhuru wa nchi yake iliyofanyika jijini
Dar es Salaam. Kushoto mke wa balozi, Fatma Lukoki.
(Picha na Yusuf
Badi).
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)