Naibu Waziri wa
Viwanda na Biashara Mhe. Lazaro Nyarandu (MB) akikata utepe kama ishara
ya kufungua rasmi maonyesho ya 9 ya SIDO ya nyanda za juu kusini
inayoshirikisha mikoa ya Rukwa, Iringa na Mbeya. Kulia kwake
anayeshuhudia ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Joyce Mgana.
Maonyesho hayo yanafanyika katika Uwanja wa Nelson Mandela Mkoani Rukwa
kwa kushirikisha wajasiriamali kutoka zaidi ya mikoa 14 nchini na
wengine kutoka nchi jirani za Kenya na Burundi.
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)