Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe
wakati akiweka jiwe la Msingi la ujenzi wa barabara ya Dodoma -
Mayamaya kwenye eneo la Miyuji Novemba 12, 2011. Kulia kwake ni
Waziri wa Ujenzi, John Magufuli .
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka
jiwe la Msingi la ujenzi wa barabara ya Dodoma - Mayamaya kwenye
eneo la Miyuji Novemba 12, 2011. Wanne kushoto ni Waziri wa Ujenzi,
John Magufuli na kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya
Miundombinu na Mbunge wa Kigoma Mjini Peter Serukamba.Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)