Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na Sheikh Saud Bin Saqr Al
Qasimi,mwenyeji wake Kiongozi wa Ras Al Khaimah,wakati alipowasili katika kasri
ya kiongozi huyo Mjini Ras Al Kahimah, jana akiwa katika ziara ya kukuza
uhusiano wa mashirikiano na kukuza maendeleo ya sekta mbali mbali za
maendeleleo,kama Afya,Elimu,Biashara nyenginezo za
maendeleo.(12/11/2011)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,(wapili kushoto)akiwa pamoja na Sheikh
Saud Bin Saqr Al Qasimi,wakishuhudia utiaji saini makubaliano kuhusu ushirikiano
wa kukuza sekta mbali mbali za maendeleo,ambapo kwa upande wa Zanzibar Waziri wa
kazi Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika Mhe Haroun Ali Suleiman,na Sheikh
Abdullah Bin Humaid Al Qasimi kwa upande wa Ras Al Khaimah,saini hizo zimetiwa
katika ukumbi wa kasri ya Sheikh Soud.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Sheikh Saud Bin Saqr Al
Qasimi,mwenyeji wake Kiongozi wa Ras Al Khaimah,wakati alipowasili katika kasri
ya kiongozi huyo Mjini Ras Al Kahimah jana akiwa katika ziara ya kukuza uhusiano
wa mashirikiano na kukuza maendeleo ya sekta mbali mbali za maendeleleo,kama
Afya,Elimu,Biashara nyenginezo za maendeleo.
Kwa Picha Zaidi <<< BOFYA HAPA >>>
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)