Mbunge wa Mbeya Mjini(Chadema)
Joseph Mbilinyi,akiwa eneo la Mafiati walipokuwa wakifikishwa vijana
waliokuwa wakikamatwa, aliyekaa chini huku akitokwa damu ni mmoja wa
viajana walijeruhiwa katika vurugu hizo.
Askari wa Jeshi la Wananchi na JKT
wakiwaamuru Vijana kuondoa mawe yaliyokuwa yamewekwa barabara ya Kabwe
jana.
Askari wa Jeshi la Wananchi na JKT
wakikabiliana na vijana maeneo ya Mafiati jijini Mbeya jana.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)