Wachezaji wawili wa kitanzania, Joseph
Kaniki (Golota) na
William John wamefanikiwa kujiunga na timu ya ligi daraja la pili
KonyaSpor
(KIF) nchini Sweden, baada ya kufanikiwa kupita katika majaribio(
Trials).
Majaribio hayo yalijumuisha wachezaji zaidi ya thelathini ambapo
wachezaji
watano walichaguliwa kujiunga na klabu hiyo ya ligi daraja la pili
KonyaSpor
(KIF)
Habari hii imeletwa kwenu na:http://www.africa4life.com/
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)