Watanzania wawili kucheza ligi daraja la pili Sweden - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Watanzania wawili kucheza ligi daraja la pili Sweden

https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment?view=att&th=133d83932fc1db0f&attid=0.1&disp=inline&realattid=f_gvehbs6d0&safe=1&zw&sadnir=1&saduie=AG9B_P-pMeAX8Bj6uum_JO85Z8o9&sadet=1322184344033&sads=wCO2luQC80f2s20hSXQpr0ZYZec 
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment?view=att&th=133d83932fc1db0f&attid=0.2&disp=inline&realattid=f_gvehby331&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-pMeAX8Bj6uum_JO85Z8o9&sadet=1322184504576&sads=ex7I5D_dm3JhabOM7EdKMLkSCjA
Wachezaji wawili wa kitanzania, Joseph Kaniki (Golota) na William John wamefanikiwa kujiunga na timu ya ligi daraja la pili KonyaSpor (KIF) nchini Sweden, baada ya kufanikiwa kupita katika majaribio( Trials). Majaribio hayo yalijumuisha wachezaji zaidi ya thelathini ambapo wachezaji watano walichaguliwa kujiunga na klabu hiyo ya ligi daraja la pili KonyaSpor (KIF)
Habari hii imeletwa kwenu na:http://www.africa4life.com/

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages