Lori lenye
namba za usajili T190 AKW likiwa limetumbukia mtoni baada ya kusombwa na
maji katika daraja la mto Loobuko kati ya Makuyuni na Mto wa Mbu
wilayani Monduli mkoani Arusha kutokana na mvua kubwa zinazonyesha
mkoani humo. (Picha na Prisca Libaga).
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)