Mfanyakazi
wa Idara ya Udhibiti wa Mapato ya kampuni ya Vodacom Tanzania Maka
Mwalwanda (kulia) akiwa ameshikilia kikombe cha zawadi ya kwanza ya
makusanyo mazuri ya mapato kwa mwezi wa tisa kutoka kwa wateja wa malipo
ya baada. Kushoto kwake ni Joseph Kyula aliyepata zawadi ya mshindi wa
tatu. Mbali na vikombe watumishi hao walipatiwa pia zawadi ya fedha
taslimu kama motisha ya kazi nzuri.
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)