Mega Promosheni inayoendeshwa na kampuni ya kampuni ya
mawasiliano ya Vodacom Tanzania imezidi kuchanja mbuga huku wananchi
wakizidi kunufaika nayo kwa kushinda mamilioni ya shilingi pamoja na
televisheni za kisasa aina ya Samsuing LCD. Mwishoni mwa wiki Geoffrey
Msitu mkazi wa Arusha aliingia katika orodha ya washindi wa kitita cha
Shilingi Milioni Kumi na Moja, fedha ambazo kimsingi zitamsaidia
kubadili maisha yake. Bw. Msitu pamoja na mshindi wa televisheni
Bw.Godlove Mbise ambae nae ni mkazi wa Arusha walikabidhiwa zawadi zao
mwishoni mwa wiki mjini Arusha na Mkurugenzi wa Vodacom Kanda ya
Kaskazini Nguvu Kamando
Vodacom Mega Promosheni
bado inaendelea na wateja wa Vodacom nchi nzima wanayo nafasi ya
kushiriki na kujishindia mamilioni ya fedha kuboresha maisha yao.
Ili
kushirikli mteja wa Vodacom anapaswa kutuma neno BURE kwenda namba 15015
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)