Daniel Ngowi na Aloyce Joseph wakiwa katika kilele cha Mlima
Kilimanjaro walipoipandisha bendera ya Taifa ikiwa ni kilele cha
Kampeni ya Kilimanjaro Jivunie uTanzania iliyokuwa ikiendeshwa na Bia ya
Kilimanjaro Premium Lager ili kusherekea miaka 50 ya Uhuru.Aloyce
Joseph (kushoto) na Daniel Ngowi wakiwa katika kilele cha Mlima
Kilimanjaro walipoipandisha bendera ya Taifa ikiwa ni kilele cha Kampeni
ya Kilimanjaro Jivunie uTanzania iliyokuwa ikiendeshwa na Bia ya
Kilimanjaro Premium Lager ili kusherehekea miaka 50 ya Uhuru.
-






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)