 |
| Mkuu
wa mkoa wa Mbeya akizungumza na wafanyabiashara wa Tunduma baada ya
tukio la ajali ya Moto jana jioni ambapo amewapa pole kutokana na maafa
hayo. |
|
Watu wakiokota mabaki ya vitu vilivyoungua kwenye maduka ya eneo la TUNDUMA maarufu kama Mansese
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abas Kandoro akitembelea eneo ambako moto umetekeza maduka katika mji wa Tunduma
 |
| Moto
ukiendelea kuwaka kutokana na ajali iliyotokea jana jioni na
kusababisha hasara ya mabilion ya fedha katika mji wa Tunduma wilayani
Mbozi(kwa hisani ya Indaba Africa) |
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)