Hatimaye
mawasliano ya barabara kati ya Arusha na Karatu yamerejea kama mwanzo
baada ya barabara hiyo kushindikana kupitika kutokana na mvua kubwa
iliyonyesha na kusababisa kufurika kwa mto kirurumo ambao ulimwaga maji
mengi hivyo kusukuma mawe na magogo na kupelekea kuziba barabara pamoja
na kusababisha mtu mmoja kupoteza maisha.hivi sasa magari yanapita
ng'ambo na watembea kwa miguu pamoja nawatalii ambao walikuwa wakienda
katika hifadhi ya ngorongoro.
Baadhi ya Mifugo ikipita upande mmoja wa barabara huku upande mwingine ukiwa umesheheni mawe. Picha na Chris Mfinanga.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)