Rais Jakaya Kikwete akiagana na Mwenyeliti wa
CHADEMA, Freeman Mbowe Ikulu Jijini Dar es Salaam Jana Muda Mfupi baada
ya kumaliza Mkutano wa Historia uliodumu kwa Masaa Matano
Rais Jakaya Kikwete akiagana na
Kiongozi Mwandamizi wa Chadema Profesa Mwesiga Baregu, Ikulu Jijini Dar
es Salaam Jana Muda Mfupi baada ya kumaliza Mkutano wa Historia
uliodumu kwa Masaa Matano jana
Rais Jakaya Kikwete akiagana na
Kiongozi Mwandamizi wa Chadema Profesa Abdallah Safari Ikulu Jijini Dar
es Salaam Jana Muda Mfupi baada ya kumaliza Mkutano wa Historia
uliodumu kwa Masaa Matano jana
Rais Jakaya Kikwete akiagana na
Mheshimiwa Tundu Lissu Mbunge wa Chadema Ikulu Jijini Dar es Salaam Jana
Muda Mfupi baada ya kumaliza Mkutano wa Historia uliodumu kwa Masaa
Matano jana





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)