Taswira Za Semina Ya Watendaji Wa CCM Nchini Nzima Mjini Dodoma - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Taswira Za Semina Ya Watendaji Wa CCM Nchini Nzima Mjini Dodoma

Katibu Mkuu wa CCM Wilson Mukama akijadiliana jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) John Chiligati na Naibu (Zanzibar) Vuai Ali  wakati wa semina wa watendaji wa inayoendelea mjini Dodoma
Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba akitoa mada kwenye  semina hiyo.
Katibu wa NEC, Oganaizesheni Asha Abdallah Juma akitoa mada katika semina hiyo

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages