Soko la Kisimani
lililopo mji mdogo wa Tunduma, wilaya ya mpya ya Momba mkoani Mbeya
limeteketea kwa moto hapo jana kuanzia majira ya Saa 10 jioni na
kusababisha hasara kubwa ambapo vibanda vya biashara na maduka
yameteketea kwa moto huo. Chanzo hakijaweza kubainishwa lakini inadaiwa
kuwa Umeme uliporudi baada ya kukatika ndipo moto ulipoanza katikati ya
Soko hilo
Vibanda vilivyokuwa
vimejengwa kwa mbao vimeteketea na kubakia masalia ya mabati
yaliyotumika kuezekea vibanda hivyo katika Soko la Kisimani lililopo mji
mdogo wa Tunduma, wilaya ya mpya ya Momba mkoani Mbeya, jana kuanzia
majira ya Saa 10 jioni na kusababisha hasara kubwa ambapo vibanda vya
biashara na maduka yameteketea kwa moto huo.
Kijana mmoja
aliyevalia mwenye fulana ya Bluu akiwa amekamatwa wakati akijaribu
kutorosha baadhi ya mali zilizokolewa katika moja ya maduka
yaliyoteketea kwa moto katika soko la Kisimani lililopo mji mdogo wa
Tunduma, wilaya ya mpya ya Momba mkoani Mbeya , jana kuanzia majira ya
Saa 10 jioni na kusababisha hasara kubwa ambapo vibanda vya biashara na
maduka yameteketea kwa moto huo.
Kwa Picha Zaidi <<<< BOFYA HAPA >>>>





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)