Uhaba
wa mafuta katika mkoa wa Tabora.Hivi ndivyo hali ilivyo katika pita
pita za Latest news Tz na kujionea mstari mrefu watu wakisubiri kupata
huduma ya mafuta.Hali hii ilianza kama siku nne zilizopita na kila siku kituo kimoja kinatoa huduma hiyo.
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)