Mkuu wa Mkoa Muheshimiwa Abas Kandoro akiwa na waandishi wa habari Muda huu wakijadili swala la Mgogoro na wamachinga
Bara bara zimefungwa Maeneo ya Mama John Muda huu Live
Waandishi wa Habari wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa kwa umakini kutokana na Sakata Hili la wamachinga
Wanachi wa Mbeua wakiwa wanashangilia tuu muda huu wakati waandishi wanaendelea na kikao na Mkuu wa mkoa
Mkuu wa Mkoa Bw. Abas Kandoro akiwa anaongea na Waandishi wa habari.Endelea kufuatilia habari hii kwa Ukaribu zaidi hapa hapa. Picha Kwa Hisani Ya Mbeya yetu Blogu
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)