Rais Dkt. Jakaya Kikwete
akisalimiana na Mbunge wa Ludewa,Mh. Filikunjombe mara baada ya kuwasili kwenye
uwanja wa ndege wa Iringa.Rais Kikwete alizindua mradi wa Umeme wa Lumama kijiji
cha Mawengi, Ludewa, utoonufaisha wananchi wapatao 10,000 katika vijiji vya
Lupande, Mawengi na Madunda
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete
akipokea zawadi ya Maua kutoka kwa mtoto Chipukizi wakati walipowasili mkoani
Iringa.
Rais Jakaya Kikwete na Mkewe
Mama Salma Kikwete wakipata maelezo ya Mradi huo wa Umeme kutoka kwa Mtaalam wa
Mradi huo.
Kwa Picha Zaidi <<< BOFYA HAPA >>>
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)