Waziri
wa Ardhi Nyumba na Makazi Prof. Anna Tibaijuka wa pili kutoka kulia
akiangalia ramani halisi inayoonyesha maeneo ya wazi wakati alipokagua
maeneo ya wazi yaliyovamiwa na wananchi maeneo ya Sinza E wilaya ya
Kinondoni, ambapo pia alikuwa akikagua mabango yaliyowekwa kwa ajili ya
kuataarifu wananchi na kuwaelimisha maeneo ambayo ramani inaonyesha yako
wazi kwa ajili ya mipango ya maendeleo ya Serikali.
Diwani
wa Sinza Bw. Renatus Pamba akimuonyesha Waziri wa Ardhi Nyumba na
Makazi Prof. Anna Tibaijuka maeneo ya wazi yaliyovamiwa na wananchi
katika maeneo ya Sinza E wengine ni waandishi wa habari walioongozana na
Waziri Tibaijuka.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)