Huyu
Jamaa alikutwa na kamera ya Sufianimafoto Reporter jijini Arusha hivi
karibuni, akiwa amembeba mbwa wake mgongoni jambo ambalo lilimshanga
kila mmoja aliyemuona katika staili hii na alipoulizwa alidai kuwa mbwa
wake anaumwa na hivyo alikuwa akimpeleka Hospitali. Eti
kwa maisha ya kawaida ya Waafrika na hasa Watanzania hali kama hii iki
sawa? na je waweza kumfikiliaje mtu kama huyu pindi unapokutana naye
akiwa katika hali kama hii?Picha Na Sufiani Mafoto
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)