Bwana
Gabriel Mwasomola mmoja kati ya majeruhi waliopigwa risasi eneo la
stendi ya Kabwe, jijini Mbeya kutokana na vurugu zinazoendelea ambazo
zimetokana na wafanyabiashara wadodowadogo machinga wa eneo la Mwanjelwa
kuondolewa na halmashauri ya jiji kufanya biashara katika maeneo
yasiyoruhusiwa.
Barabara ikiwa imefungwa
Maduka
yakiwa yamefungwa katika Stendi ya magari madogo abiria(daladala)
Kabwe jijini Mbeya, kutokana na vurugu zinazoendelea ambazo zimetokana
na wafanyabiashara wadodowadogo machinga wa eneo la Mwanjelwa
kuondolewa na halmashauri ya jiji kufanya biashara katika maeneo
yasiyoruhusiwa.
Nguzo ya bango la Matangazo lililopo eneo la Stendi ya magari ya
abiria(daladala), ambapo Tangazo lililokuwa eneo hilo la Airtel
lilichomwa moto kufuatia vurugu zinazoendelea ambazo zimetokana na
wafanyabiashara wadodowadogo machinga wa eneo la Mwanjelwa kuondolewa
na halmashauri ya jiji kufanya biashara katika maeneo yasiyoruhusiwa.
Baadhi
ya wasababishaji wa vurugu nya vurugu wakiendelea na shughuli nzima za
ufungaji wa barabara kufuatia vurugu zinazoendelea ambazo zimetokana
na wafanyabiashara wadodowadogo machinga wa eneo la Mwanjelwa
kuondolewa na halmashauri ya jiji kufanya biashara katika maeneo
yasiyoruhusiwa.Picha/Habari Na Mbeya Yetu Blogu
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)