MJUMBE
wa Kamati Kuu ya Chama Cha Kimomunisti cha China (CPC) Liu Yunshan
ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Uenezi ya chama hicho, akiweka shada la
maua kwenye eneo la Makaburi ya wataalam wa Kichina alipokwenda kuyaona,
eneo la Majohe, Gongo la Mboto, Dar es Salaam.
UJUMBE
wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Kimomunisti cha China (CPC) Liu
Yunshan ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Uenezi ya chama hicho, ukipata
maelezo ulipotembelea Kampuni ya Reli ya TAZARA
Rais
Jakaya Kikwete akimkaribisha Ikulu, Dar es Salaam leo, Mjumbe wa Kamati
Kuu ya Chama Cha Kimomunisti cha China (CPC) Liu Yunshan ambaye pia ni
Mkuu wa Idara ya Uenezi ya chama hicho. Katikati ni Msekwa. Rais
Kikwete akizungumza na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Kimomunisti
cha China (CPC) Liu Yunshan ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Uenezi ya
chama hicho, Ikulu Dar es Salaam, leo.
Kutoka
Kushoto Msekwa, Wilson Mukama na baadhi ya Wajumbe wa Sekretarieti ya
Halmashauri Kuu ya Taifa wakiwa kwenye mazungumzo hayo.
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Kimomunisti cha China (CPC) Liu
Yunshan ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Uenezi ya chama hicho, akimpa
zawadi Makamu Mwenyekiti wa CCM Pius Msekwa baada ya mazungumzo ya
ujumbe wa Chama hicho na Ujumbe wa CCM katika Ukumbi wa Ofisi Ndogo ya
Makao Makuu ya CCM, Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Wilson
Mukama
MJUMBE
wa Kamati Kuu ya Chama Cha Kimomunisti cha China (CPC) Liu Yunshan
ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Uenezi ya chama hicho na Mwenyeji wake
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Pius Msekwa, wakiwa katika picha ya
pamoja na viongozi wa CCM baada ya mazungumzo ya ujumbe wake na wa CCM
kuwa na mazungumzo katika ukumbi wa sekretarieti, Ofisi Ndogo yab Makao
Makuu ya CCM mtaa wa Lumumba Dar es Salaam. Wengine ni Katibu wa NEC
Itikadi na Uenezi Nape NNauye, Katibu Mkuu wa CCM Wilson Mukama na
Katibu wa NEC, Uhusiano wa Kimataifa Januari Makamba.
Picha na Bashir Nkromo
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)