Choo
kikiwa kimejengwa mbele ya nyumba upande wa Barabarani eneo la
Kinondoni Shamba badala ya kujengwa uwani mwa nyumba hiyo, jambo ambalo
haliendani na maisha ya kawaida ya binadam ama maadili ya Kitanzania.
Choo hiki kama kinacyoonekana kikiwa karibu kabisa na barabara
inayopitisha magari ya kila aina sasa sijui siku gari likikosea njia
likavamia choo hiki wakati jamaa akiwa ndani itakuwaje. 'WABONGO TUPUNGUZE VITUKO'
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)