Mkurugenzi
wa T Bonaz George Lulabuka akiwa mzigoni Kwenye Tamasha la Beer
Festival lilofanyika jijini Dar es Salam hivi karibuni ambapo T-Bonaz
waliiibuka washindi kwa uchomaji Bora wa Nyama ulioenda shule katika
hali ya usafi na utamu usio na Mfano,Kwa sasa T -Bonaz wanapenda
kuwajulisha wadau Wao kwamba Wakae Mkao wa Kula kwa Upcoming Events
Mwezi December Mwaka Huu Jijini Dar es Salaam.Kwa Habari zaidi endelea
Kukodolea Macho Ukurasa Huu..
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)