Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza wakati wa Kongamano la Msafara wa kuelekea katika mkutano
wa mabadfiliko ya Tabia Nchi unaotarajia kufanyika Durban Afrika ya
Kusini mwezi ujao. Kongamano hilo limefanyika leo Novemba 15, 2011
kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akipokea Madai ya Wananchi ya Namna ya kukabiliana na Mabadiliko ya
Tabia nchi, kutoka kwa Mwanaharakati wa Mabadiliko ya tabia Nchi,
Laurence Chuma, wakati wa Kongamano la Msafara wa kuelekea katika
Mkutano wa Mabadiliko ya Tabia Nchi unaotarajia kufanyika Durban Afrika
ya Kusini mwezi ujao. Kongamano hilo lilifanyika kwenye Ukumbi wa
Mlimani City jijini Dar es Salaam leo Novemba 15, 2011. Katikati ni
Mwakilishi wa Asasi za Mabadiliko ya Tabia Nchi, Rebecca Muna. Picha na
Muhidin Sufiani-Ofisi Ya Makamu Wa Rais
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)