Mwenyekiti Wa Kamati Ya Mapinduzi
Cup na Kada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM)Mohamedd Raza akizungumza na
waandishi wa habari muda mfupi baada ya kuchukua fomu za kuwania jimbo
la uzini kwa tiketi ya CCM
leoVisiwani Zanzibar
Mwenyekiti Wa Kamati Ya Mapinduzi Cup na Kada wa
Chama Cha Mapinduzi(CCM)Mohamedd Raza akionyesha Fomu yake kwa
waandishi Wa Habari leo visiwani zanzibar
Mwenyekiti Wa Kamati Ya Mapinduzi Cup na Kada
wa Chama Cha Mapinduzi(CCM)Mohamedd Raza amechukua fomu rasmi kuwania
jimbo la Uzini kwa tiketi ya CCM Visiwani Zanzibar





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)