THE
UNIVERSITY OF DODOMA SOCIOLOGY STUDENTS ORGANIZATION (UDOMSSO)
Kwa niaba ya Jumuiya ya Wanafunzi Wanaosoma
Shahada Ya Kwanza Ya Sosholojia (Bachelor Of Arts in Sociology) ya Chuo
Kikuu Cha Dodoma inapenda kutoa pole kwa Uongozi wa Chuo Kikuu Cha
Dodoma, Uongozi Wa Kitivo Cha Elimu Cha Chuo Kikuu Cha Dodoma, Wanafunzi
Wa Kitivo Cha Elimu Cha Chuo Kikuu Cha Dodoma pamoja na Wanafunzi Wa
Chuo Kikuu Cha Dodoma Kwa ujumla Kwa Msiba uliotukuta wa Ndugu yetu
Yohana Raphael aliyekua Mwanafunzi Wa Mwaka wa 3 wa Shahada ya Kwanza Ya
Elimu
Wanafunzi tunaosoma Shahada ya Kwanza Chuo Kikuu
Cha Dodoma Tunapenda Kutoa Salamu Zetu Za Rambi Rambi Kwa Makamu Mkuu
Wa Chuo Kikuu Cha Dodoma pamoja na Wanafunzi Wa UDOM wote Kufuatia Msiba
ulioikumba Chuo Chetu Cha UDOM Kwa kuondokewa na Ndugu yetu YOHANA
RAPHAEL aliyefariki ghafla jana katika zahanati ya Chuo Kikuu Cha Dodoma
iliyopo Katika Kitivo Cha Sayansi ya Jamii, Sanaa na Lugha
Vilevile Tunapenda Kutoa
Salamu Zetu Za Rambirambi Kwa Ndugu, Jamaa Na Marafiki ambao
wamempoteza Jamaa,Ndugu, Marafiki yao
Wanafunzi Wote Tunaosoma Shahada ya Kwanza Ya
Sociology na Shahada Nyingine Za Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM)
tunaungana na Wanafunzi Wenzetu Wa Kitivo Cha Elimu kwa pamoja katika
wakati huu mgumu wa msiba wa ndugu yetu YOHANA RAPHAEL
Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahala Pepa Peponi Amina na Mungu Awabariki Na Kutujaza Nguvu Ndugu, Jamaa na Marafiki Kwa Kumpoteza Mpendwa Wetu YOHANA RAPHAEL
Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahala Pepa Peponi Amina na Mungu Awabariki Na Kutujaza Nguvu Ndugu, Jamaa na Marafiki Kwa Kumpoteza Mpendwa Wetu YOHANA RAPHAEL
Imetolewa Na
LUKAZA JOSEPHAT
AFISA UHUSIANO
THE UNIVERSITY OF DODOMA SOCIOLOGY STUDENTS ORGANIZATION(UDOMSSO)
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)