Mwenyekiti
wa CCM Rais Jakaya Kikwete wa pili kutoka kushoto akiongoza kikao cha
Kamati Kuu ya CCM leo Novemba 21, 2-011 ukumbi wa 'White House' wa
makao makuu ya chama hicho tawala mjini Dodoma. kulia katika picha na
Katibu Mkuu wa CCM Wilson Mukama na kutoka kushoto ni Rais Mstaafu
William Benjamin Mkapa, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi na Rais Mstaafu wa Zanziba Aman Abeid Karume
Kutoka
kulia ni Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal, Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda
na kushoto ni Nape Nnauye katibu wa NEC Itikadi na uenezi wa CCM na
Katibu wa NEC Fedha na Uchumi Mwigulu Nchemba na viongozi wengine
wakihudhuria mkutano wa Kamati kuu ya CCM.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)